Monday, May 5, 2014
Friday, April 18, 2014
CHADEMA,CUF ,NCCR KUUNGANA NA KUUNDA BARAZA LA MAWAZIRI VIVULI BUNGENI
Tumekuwa na mazungumzo na wenzetu na hili jambo ni moja ya mambo ambayo
tumekubaliana kushirikiana,
maana kila upande unahitaji mwenzake katika kuikomboa nchi hii” Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa Chadema( katikati)
maana kila upande unahitaji mwenzake katika kuikomboa nchi hii” Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa Chadema( katikati)
Thursday, April 17, 2014
HATUTARUDI BUNGENI NG'O!!!!!!!NI KAULI YA UKAWA,,WAJIPANGA KUSAMBAZA CD ZA HOTUBA YA LUKUVI KANISANI NCHI NZIMA.
WAJUMBE
wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema
hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara
nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na
washirika wake kutaka kuhodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya.
UKAWA
wamesema katika mikutano hiyo watazisambaza ‘CD’ zinazomuonesha Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, akiwa katika
Kanisa la Methodist, mkoani Dodoma akiwaeleza waumini wakatae muundo wa
serikali tatu.
Walisema
kwenye CD hizo, Lukuvi, anaonekana akiwaambia wananchi iwapo wataridhia muundo
wa serikali tatu, jeshi litachukua nchi na Zanzibar itaingia katika utawala wa
Kiislamu.
UKAWA WATOA RATIBA YA MAANDAMANO YA KUPINGA MWENENDO WA MCHAKATO WA KATIBA PMYA.
RATIBA YA MAANDAMANO YA UKAWA YENYE LENGO LA KUPINGA MWENENDO WA
MCHAKATO WA KATIBA MPYA.
Maandamano ARUSHA,
yataongozwa, na JOHNMNYIKA, DAR ES SALAAM
yataongozwa na GODBLESS
LEMA NA SUGU, MWANZA
yataongozwa na TUNDU
LISSU NA Prof LIPUMBA,
KILIMANJARO MOSHI
maandamano yataongozwa
na KABWE ZITTO NA CHIKU
ABAO.
MBEYA yataongozwa na
MAALIMU SEFU,
Maandamano ya IRINGA
yataongozwa na SHIBUDA
NA
NASSARI, Maandamano ya
SHINYANGA yataongozwa na
WENJE NA
SALASINI ,Maandamano ya
PEMBA yataongozwa na
MBOWE NA ANNA
KOMU,maandamano ya
TANGA yataongozwa na
HALIMA MDEE NA
MACHEMLI .
TAZAMA LIST YA WASANII WA HIP HOP WENYE MKWANJA MREFU ZAIDI DUNIAN KOTE.
katika list ya wasanii wa hiphop wenye mkwanja
mrefu 2014 iliyotolewa na Forbes mtu mzima Diddy ameshika nafasi ya kwanza.
Puff Daddy ameshika
nafasi hiyo ya juu katika wasanii wa hiphop bora watano wenye mkwanja mrefu
katika list ya forbes iliyoachiwa mapema siku ya jana (April 6). Diddy
ambae pia anajulikana kama Sean "Diddy" Combs ana thamani ya dolla
milioni 700, kutokana na kilichoandikwa na gazeti hilo.
Revolt Tv ambayo aliizindua miezi michache
iliyopita inamuingizia mkate mkubwa kiasi kwamba kwa siku moja inaweza kumfanya
kuwa msanii bilionea wa kwanza wa hiphop, story hiyo iliendelea kusema.
WIMBO RASMI WA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA 2014,
Wimbo rasmi wa kombe la dunia mwaka huu
umeshatoka na safari hii Pit Bull Jenifer Lopez na Claudia Leitte ndio wamekula
shavu la kurecord wimbo huo.
Wimbo huo umeimbwa kwa lugha tatu ambazo ni
Kingereza, Kireno na ki-spanis.
Licha ya kufikisha wasikilizaji 9,223,850 mpaka hivi sasa,
asilimia kubwa wauponda wimbo huo, hasa kwa madai ya kuwa pitbull hakufaa
kuwepo katika wimbo huo na hata wengine kuuliza inakuwaje wimbo wa kombe la
dunia pitubull achane?...
WANAFUNZI WA IFM WAKAMATWA NA BANGI KILO 50.
Jeshi la Polisi Mkoa
wa Dodoma linawashikilia abiria wa tatu waliokuwa wakisafiri na Basi la New
Force kutoka Kahama kuelekea Jijini Dar es Salaam.Wanaoshikiliwa ni Kevin
Prospar(aliyekaa pichani kulia),Joseph Charles (aliyekaa kulia) na John
Joseph(aliye kaa katikati)
Subscribe to:
Posts (Atom)





