Showing posts with label LULU. Show all posts
Showing posts with label LULU. Show all posts

Thursday, February 13, 2014

KESI YA MAUAJI INAYOMKABILI LULU KUANZA KUSIKILIZWA TENA,,,LULU AKESHA AKIOMBA USIKU KUCHA.


STAA wa Filamu ya Foolish Age, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema hivi sasa anakesha akiomba ili mambo yaende vizuri katika kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, Ijumaa lina maelezo yake ya kutosha.

Lulu amemwambia paparazi wetu kuwa alishaanza kuyasahau matatizo hayo lakini hataweza kupingana na amri ya mahakama iliyopanga kuanza kusikiliza kesi hiyo kuanzia Februari 17, mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar.
“Lazima kesi iendelee na sheria ichukue mkondo wake, pamoja na kwamba nimekaa uraiani kwa kipindi kirefu na kuanza kusahau mambo hayo,” alisema Lulu.

Monday, August 26, 2013

HATIMAYE FOOLISH AGE YA LULU YARUHUSIWA KUINGIA SOKONI.



Siku chache baada ya kutangaza kuzindua filamu yake mpya "Foolish Age" , lulu ametoa statement inayoonyesha kuwa kumekuwa na maneno ya kuwa filamu hiyi imezuiliwa na bodi ya ukaguzi wa filamu. kupitia acc yake ya Instagram, Lulu amesisitiza kuwa Filamu yake imeshakaguliwa na tayari ameshapata kibali kuendelea na uzinduzi huo.

Friday, August 23, 2013

FIAMU MPYA YA LULU YA FOOLISH AGE YAZUILIWA KUTOKA,,,SABABU NI MAVAZI YASIYOENDANA NA MAADILI YA KITANZANIA.


Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akiweka sahihi yake kuashiria amekubaliana na taratibu zote alizoelekezwa na Bodi ya Filamu wakati wa ukaguzi wa filamu yake ya “Foolish Age”

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...