Showing posts with label JOHARI. Show all posts
Showing posts with label JOHARI. Show all posts

Saturday, February 1, 2014

WAKATI MWIGIZAJI NGURI WA BONGO JOHARI AKIWA MAHUTUTI KITANDANI,,MAMA YAKE ATOA YA MOYONI KUHUSU RAY (VICENT KIGOSI) NA UHUSIANO WAKE NA MWANAE


Makubwa! Kwa mara kwanza mama mzazi wa mwigizaji mkongwe Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye hakupenda jina lichorwe gazetini ameibuka na kumfumua staa wa filamu ‘mbia’ wa mwanaye, Vincent Kigosi ‘Ray’, Risasi Jumamosi lina cha kushika.
Akizungumza na mapaparazi wetu katika mahojiano maalum nyumbani kwake, Ubungo External, Dar, wiki hii, mama Johari alifunguka kuwa hamjui wala hajawahi kumuona Ray ambaye ni mkurugenzi mwenza wa Johari. Ndiyo wamiliki wa kampuni ya kufyatua filamu ya RJ Productions.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...