Showing posts with label SAD NEWS. Show all posts
Showing posts with label SAD NEWS. Show all posts

Tuesday, August 20, 2013

MWANAMKE AJILIPUA BAADA YA MUMEWE KUOA MKE WA PILI MKOANI GEITA.




MWANAMKE mmoja ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyankumbu, Kata ya Kalangalala mkoani  Geita amenusurika kifo baada ya kujimwagia mwilini mafuta ya petroli kisha kujilipua baada ya mumewe kuoa mke wa pili.   

Imeelezwa kuwa mwanamke huyo, Anastazia Kubezya (28) Agosti 8 mwaka huu aliamua kujimiminia petroli mwili mzima kabla ya kuchukua kiberiti na kujilipua, hali iliyosababisha  akimbizwe katika Hospitali ya Geita alikolazwa katika wodi namba saba kwa matibabu.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...