MWANAMKE mmoja ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyankumbu, Kata ya
Kalangalala mkoani Geita amenusurika kifo baada ya kujimwagia mwilini
mafuta ya petroli kisha kujilipua baada ya mumewe kuoa mke wa pili.
Imeelezwa kuwa mwanamke huyo, Anastazia Kubezya (28) Agosti 8 mwaka huu aliamua kujimiminia petroli mwili mzima kabla ya kuchukua kiberiti na kujilipua, hali iliyosababisha akimbizwe katika Hospitali ya Geita alikolazwa katika wodi namba saba kwa matibabu.
Imeelezwa kuwa mwanamke huyo, Anastazia Kubezya (28) Agosti 8 mwaka huu aliamua kujimiminia petroli mwili mzima kabla ya kuchukua kiberiti na kujilipua, hali iliyosababisha akimbizwe katika Hospitali ya Geita alikolazwa katika wodi namba saba kwa matibabu.
