Showing posts with label mara. Show all posts
Showing posts with label mara. Show all posts

Sunday, August 18, 2013

MTOTO APIGWA NA KULISHWA MAVI NA BABA YAKE MZAZI MKOANI MARA,


MWALIMU wa Shule ya Msingi Morotonga, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara, Karata Mugunda, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani hapa, kwa tuhuma za kumpiga na kumlisha kinyesi mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 10. 


Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Wilaya ya Serengeti, Samwel Mewama, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba mtoto huyo alilishwa kinyesi alichokuwa amejisaidia ndani ya nyumba yao.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...