Baadhi
ya washiriki walikuwa katika msafara wa kwenda kukabidhi mwenge kutoka wilaya
ya Dodoma mjini na kuukabidhi katika wilaya ya Mpwapwa wakiangalia moja ya
magari yaliyoharibika baada ya kutokea ajali hiyo Gari namba DFP.7178 TOYOTA
LAND CRUISER (AMBULANCE) ambayo ni mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.
