Showing posts with label MBIO ZA MWENGE. Show all posts
Showing posts with label MBIO ZA MWENGE. Show all posts

Wednesday, August 21, 2013

MSAFARA WA MWENGE WAPATA AJALI MKOANI DODOMA.


Baadhi ya washiriki walikuwa katika msafara wa kwenda kukabidhi mwenge kutoka wilaya ya Dodoma mjini na kuukabidhi katika wilaya ya Mpwapwa wakiangalia moja ya magari yaliyoharibika baada ya kutokea ajali hiyo Gari namba DFP.7178 TOYOTA LAND CRUISER (AMBULANCE) ambayo ni mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...