Bada ya wadau wengi na mashabiki wa mwana FA kuizungumzia na kuingojea kwa muda video ya wimbo wa mwana FA, KAMA ZAMANI,mambo sasa kukamilika alhamisi ya wiki hili ambapo video hiyo itaonekana rasimi kwenye vituo vya television nje na ndani ya nchi.
video hiyo itananza kuonekan chanel O,
No comments:
Post a Comment