Hitmaker wa 'Moyo Wangu' Naseeb Abdul akiwa ni miongoni mwa
wasanii walio katika ziara ya Serengeti Fiesta sasa leo kwenye semina ya fursa
huko mkoani Tabora aliweza kufunguka na kueleza jinsi alivyosota,alivyouza
mitumba,mafuta na kazi ya kiwadani.
Itazame hii video hapa uone jinsi akielezea katika Semina ya Fursa mkoani
Itazame hii video hapa uone jinsi akielezea katika Semina ya Fursa mkoani
Tabora.
No comments:
Post a Comment