Itakumbukwa kwamba siku mbili zilizopita,,Mh pfor Anna T
ibaijuka aliongea na wananchi wa kurasini na kugusia juu ya suala la ujenzi holela. Leo manispaa wametinga na magreda tayari kuanza kubomoa nyumba zote zilizojengwa kiholelaa na kazi bbado inaendelea.,,chin ni picha za matukio mbalimbali KWA HISANI YA https//ripotizamitaa.blogspot.com
No comments:
Post a Comment