Tuesday, August 6, 2013

DUNIANI KUNA MAMBO,,MCHUNGAJI AWADANGANYA WAUMINI KUWA UUME WAKE UNATOA MAZIWA YENYE BARAKA , KWA YEYOTE ATAKAYENYONYA ATAPATA BARAKA HIZO.





Valdeci Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka waunyonye kupata baraka hizo.


Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye upako.

Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya ‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka wafungwa wenzie. - 

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...