Friday, May 9, 2014

VIDEO-P SQUARE-TEST MONEY


KIONGOZI MKUU WA UPINZANI BUNGENI, MH FREEMAN MBOWE ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI VIVULI.




WAZIRI MKUUKIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB)
MIZENGO KAYANZA PETER PINDAFREEMAN AIKAELI MBOWE
WIZARAWAZIRI WA CCMNAIBU WAZIRI CCMWAZIRI KIVULINAIBU WAZIRI KIVULI
(UKAWA)(UKAWA)
1OFISI YA RAISCAPT. GEORGEPROF. KULIKOYELA
(UTAWALA BORA)MKUCHIKAKAHIGI(CHADEMA)
2OFISI YA RAIS
(MENEJIMENTI YACELINA KOMBANIVINCENT NYERERE
UTUMISHI WA(CHADEMA)
UMMA)

Friday, April 18, 2014

CHADEMA,CUF ,NCCR KUUNGANA NA KUUNDA BARAZA LA MAWAZIRI VIVULI BUNGENI


Tumekuwa na mazungumzo na wenzetu na hili jambo ni moja ya mambo ambayo tumekubaliana kushirikiana,
maana kila upande unahitaji mwenzake katika kuikomboa nchi hii” Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa Chadema( katikati)

Thursday, April 17, 2014

HATUTARUDI BUNGENI NG'O!!!!!!!NI KAULI YA UKAWA,,WAJIPANGA KUSAMBAZA CD ZA HOTUBA YA LUKUVI KANISANI NCHI NZIMA.


WAJUMBE  wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na washirika wake kutaka kuhodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba mpya.
UKAWA wamesema katika mikutano hiyo watazisambaza ‘CD’ zinazomuonesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, akiwa katika Kanisa la Methodist, mkoani Dodoma akiwaeleza waumini wakatae muundo wa serikali tatu.
Walisema kwenye CD hizo, Lukuvi, anaonekana akiwaambia wananchi iwapo wataridhia muundo wa serikali tatu, jeshi litachukua nchi na Zanzibar itaingia katika utawala wa Kiislamu.

UKAWA WATOA RATIBA YA MAANDAMANO YA KUPINGA MWENENDO WA MCHAKATO WA KATIBA PMYA.


RATIBA YA MAANDAMANO YA UKAWA YENYE LENGO LA KUPINGA MWENENDO WA MCHAKATO WA KATIBA MPYA.
Maandamano ARUSHA,
yataongozwa, na JOHN
MNYIKA, DAR ES SALAAM
yataongozwa na GODBLESS
LEMA NA SUGU, MWANZA
yataongozwa na TUNDU
LISSU NA Prof LIPUMBA,
KILIMANJARO MOSHI
maandamano yataongozwa
na KABWE ZITTO NA CHIKU
ABAO.
MBEYA yataongozwa na
MAALIMU SEFU,
Maandamano ya IRINGA
yataongozwa na SHIBUDA
NA
NASSARI, Maandamano ya
SHINYANGA yataongozwa na
WENJE NA
SALASINI ,Maandamano ya
PEMBA yataongozwa na
MBOWE NA ANNA
KOMU,maandamano ya
TANGA yataongozwa na
HALIMA MDEE NA
MACHEMLI .

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...