Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za
Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi
kikubwa cha Fedha.
Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo..
Habari zaidi baadae.
Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo..
Habari zaidi baadae.
No comments:
Post a Comment