Saturday, May 24, 2014

JAMAA PANDE ZA IPOGOLO -IRINGA,KAPOTEZA UHAI BAADA YA KUZIDISHA POMBE,



MBALI ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na makampuni ya kutengeneza pombe kutoa tahadhari kuwa unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya, ‘janki’ Geoffrey Mlelwa (26), mkazi wa Ipogolo mjini hapa, amejikuta akiyakatisha maisha yake kwa kudaiwa kugida pombe kupindukia.Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati ambapo kijana huyo alikuwa katika Soko Kuu la Manispaa ya Iringa akiwa na wenzake wakipiga ulabu kwa staili ya kuchanganya (kuchoma sindano) ndipo Geoffrey alipopitiliza na kusababisha apoteze uhai.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...