Tuesday, February 25, 2014

RAY C AANZISHA ASASI YA KUELIMISHA JUU YA ATHARI ZA MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA.


Baada ya kujitumbukiza katika matumizi ya madawa haram ya kulevya na kumsababishia madhara makubwa katika kazi zake na afya yake kwa ujumla, Ray C aamua kuanzisha asasi itakayowasaidia vijana na jamii kwa ujumla kuelewa na kutambua madhara ya matumizi ya madawa ya kulevya...zaidi bofya hapo chini 




No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...