Baada ya kujitumbukiza katika matumizi ya madawa haram ya
kulevya na kumsababishia madhara makubwa katika kazi zake na afya yake kwa
ujumla, Ray C aamua kuanzisha asasi itakayowasaidia vijana na jamii kwa ujumla
kuelewa na kutambua madhara ya matumizi ya madawa ya kulevya...zaidi bofya hapo
chini
No comments:
Post a Comment