Wednesday, August 28, 2013

KING CRAZY GK IZ BACKKKK!!!!KUWA WA KWANZA KUSIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA HIII HAPA,,BARAKA AU LAAN NDO JINA LAWIMBO,

 Baada ya ukimya wa miaka sita bila ngoma wala interview, leo King Crazy GK akiwa amesindikizwa na East Coast Team nzima kuanzaia AY, Mwana FA, Buf G (Gizinga), Paulin Zongo, Yuzo pamoja na Snea, ameibuka na kudondosha single mpya "Baraka au Laana"  aliyomshirikisha Yuzo Baraka au laana ni swali ambalo nimewaachai watanzania wajiulize, ni baraka au ni laana uzaliwa Afrika, unajua kitaka kujua kile anachokiwaza mwingine muulize swali, akianza kufunguka ndio utajua anawaza nini juu ya ulichomuuliza, so hili ni swali kwa Watanzania. tumekuwa tukiskia watu wakisema bora kuzaliwa paka Ulaya kuliko kuzaliwa binaadam Afrika, kwasababu kule wanyama wanatimiziwa haki zao kuliko sisi huku, sasa tujiulize is it true..amesema GK."


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...