Wednesday, August 28, 2013

DYANA NYANGE AMTUHUMU DIAMONDI KWA KUMUIBIA WIMBO WAKE,,



Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha, nataka kulewa. Msanii  Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma baada ya kusadikiwa wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna. Inasemekana awali Dayna alimtaka Diamond wakafanye wimbo kwa Shedy, Diamond akakubali, akaskiliza mdundo na kumuahidi Dayna kwamba wangefanya wote. Lakini baadae Diamond akamrubuni Shedy na kumwambia ile bit ampe na aachane na kazi ya Dayna.
hii ni demo ya wimbo wa Dayna ambao unafanana kila kitu na wimbo wa Diamond anaotaka kuachia. skiliza na pia waweza ku share na wenzio
                                                     msikilize dyna hapa


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...