Mchungaji
Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon
atalicha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.Nasema hivi wambieni kabsa
nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na
mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.
Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.Huyo ni rev. Christopher Mtikila.
Source: BBC swahili
Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.Huyo ni rev. Christopher Mtikila.
Source: BBC swahili
No comments:
Post a Comment