Friday, August 23, 2013

SIKILIZA HISTORIA YA DIAMOND,,KUMBE JAMAA ALIKUA MUUZA MITUMBA,,CHEKI VIDEO HII AKIWA TABORA KWENE TAMASHA LA FIESTA.




Hitmaker wa 'Moyo Wangu' Naseeb Abdul akiwa ni miongoni mwa wasanii walio katika ziara ya Serengeti Fiesta sasa leo kwenye semina ya fursa huko mkoani Tabora aliweza kufunguka na kueleza jinsi alivyosota,alivyouza mitumba,mafuta na kazi ya kiwadani.

Itazame hii video hapa uone jinsi akielezea katika Semina ya Fursa mkoani 


Tabora.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...