Thursday, August 29, 2013

MAJAMBAZI WALOVALIA SARE ZA POLISI WAPORA BENKI YA HABIB ILIYOPO KARIAKOO.

Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha.


 Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo..

Habari  zaidi  baadae. 


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...