Tuesday, July 30, 2013

habariMix intro!

mdau wa michezo,,mdau wa music na sanaa kwa ujumla,,mdau wa habari na matukio ya kisisasa,,,mdau  wa  habari za mazingira,,Hiki ndo kiota chetu,,hapa ndipo tunapoweza kupata habari zate hizo,,,,kaa mkao wa kula ,mafundi mitambo bado wanarekebisha mambo ,but very soon kila kitu kitakua tayari,,,,,

                         

huu no mwonekano wa juu wa blog yetu,,,,

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...